Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muongo ametangaza kujiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na Sakata lililokuwa linaendelea la Escrow ambapo yeye kama waziri anatuhumiwa kwa rushwa.
Katika uamuzi wake huo,Prof. Muongo ameendelea kusisitiza kuwa yeye ni mtu safi na kwamba yeyote mwenye ushahidi na tuhuma dhidi yake ajitokeze na kuziweka hadharani.

Katika uamuzi wake huo,Prof. Muongo ameendelea kusisitiza kuwa yeye ni mtu safi na kwamba yeyote mwenye ushahidi na tuhuma dhidi yake ajitokeze na kuziweka hadharani.

No comments:
Post a Comment