TUZUNGUMZIE MAHUSIANO.
SHERIA ZA GROUP.
1. Picha chafu,Video za xx na Lugha chafu haziruhusiwi.
2. Mgeni akiingia anatakiwa atume picha yake na Mahali alipo kwa utambulisho zaidi.
3. Member pia anaruhusiwa kutuma picha au Video za kitu chochote ila ni lazima ziwe na Maelezo ya
kufafanua.
4.Lugha za kejeli haziruhusiwi,tunapaswa kuishi kwa kupendana.
5. Usitoe Icon ya group bila ruhusa ya Admin au bila kuwa na sababu yoyote.
6. Ni Marufuku kuingiza utani katikati ya Mada ili kuepuka kuwachanganya Members.
7. Kila Member alipende group,ashiriki ili lizidi kusimama na kutujenga.
8.Kama unaleft ni vema ukawaaga members wa group na sio kuleft bila taarifa.
MUHIMU.
1.Salamu katika group ni muhimu kuliko kitu kingine chochote.
2.Kuchat kwa ubaguzi hakutakiwi na ikionekana basi hatua ya kuondolewa itahusika.
3.Mtu akija na Mada,Wazo,Ujumbe au Swali ni lazima ajibiwe kwanza na kisha ndio Mada nyingine ziendelee.
RATIBA ZA KILA SIKU ZA GROUP.
1 NEWS ( Habari zote )
2.Mada (kila mmoja achangie).
SHERIA HIZI ZITABADILIKA KULINGANA NA KUONGEZEKA KWA WATU NA MAMBO MENGINE.
Asanteni kwa ushirikiano:- imeandaliwa na Mwillongo J..- Admin
SHERIA ZA GROUP.
1. Picha chafu,Video za xx na Lugha chafu haziruhusiwi.
2. Mgeni akiingia anatakiwa atume picha yake na Mahali alipo kwa utambulisho zaidi.
3. Member pia anaruhusiwa kutuma picha au Video za kitu chochote ila ni lazima ziwe na Maelezo ya
kufafanua.
4.Lugha za kejeli haziruhusiwi,tunapaswa kuishi kwa kupendana.
5. Usitoe Icon ya group bila ruhusa ya Admin au bila kuwa na sababu yoyote.
6. Ni Marufuku kuingiza utani katikati ya Mada ili kuepuka kuwachanganya Members.
7. Kila Member alipende group,ashiriki ili lizidi kusimama na kutujenga.
8.Kama unaleft ni vema ukawaaga members wa group na sio kuleft bila taarifa.
MUHIMU.
1.Salamu katika group ni muhimu kuliko kitu kingine chochote.
2.Kuchat kwa ubaguzi hakutakiwi na ikionekana basi hatua ya kuondolewa itahusika.
3.Mtu akija na Mada,Wazo,Ujumbe au Swali ni lazima ajibiwe kwanza na kisha ndio Mada nyingine ziendelee.
RATIBA ZA KILA SIKU ZA GROUP.
1 NEWS ( Habari zote )
2.Mada (kila mmoja achangie).
SHERIA HIZI ZITABADILIKA KULINGANA NA KUONGEZEKA KWA WATU NA MAMBO MENGINE.
Asanteni kwa ushirikiano:- imeandaliwa na Mwillongo J..- Admin
No comments:
Post a Comment