PAROKIA YA BIKIRA MAMA WA MKOMBOZI- KIPAWA.
+RATIBA YA KUONGOZA JUMUIYA NDOGO NDOGO+
MUDA - 12:30:
1.Ufunguzi kwa Sala fupi ( Ishara ya Msalaba).
2. Zaburi ya 95.
3.Kusoma injili ya siku fuata Shajara.
- Mara 1 - Atasoma mtoto.
- Mara 2 - Kijana.
- Zaburi ya somo
- Mara 3 - Mzazi
4. Kutafakari somo na zaburi ya siku hiyom.
5. Maombi.
6. Kumega mkate/Salamu za Majumbani pamoja na hali zetu Kifamilia.
7. Kusoma Taarifa ya Kikao kilichopita.
-Yatokanayo - Utekelezaji wa majukumu.
- Sadaka na Matoleo.
- Taarifa fupi ya Vyama vya Kitume.
8. Mengineyo - Kwa Idhini ya Mwenyekiti.
9. Kujua mahali pa kusali wiki ijayo na Somo la Wiki ijayo kwa Maandalizi.
10. Kufunga kwa sala Mwongozo wa Jimbo pamoja.
+RATIBA YA KUONGOZA JUMUIYA NDOGO NDOGO+
MUDA - 12:30:
1.Ufunguzi kwa Sala fupi ( Ishara ya Msalaba).
2. Zaburi ya 95.
3.Kusoma injili ya siku fuata Shajara.
- Mara 1 - Atasoma mtoto.
- Mara 2 - Kijana.
- Zaburi ya somo
- Mara 3 - Mzazi
4. Kutafakari somo na zaburi ya siku hiyom.
5. Maombi.
6. Kumega mkate/Salamu za Majumbani pamoja na hali zetu Kifamilia.
7. Kusoma Taarifa ya Kikao kilichopita.
-Yatokanayo - Utekelezaji wa majukumu.
- Sadaka na Matoleo.
- Taarifa fupi ya Vyama vya Kitume.
8. Mengineyo - Kwa Idhini ya Mwenyekiti.
9. Kujua mahali pa kusali wiki ijayo na Somo la Wiki ijayo kwa Maandalizi.
10. Kufunga kwa sala Mwongozo wa Jimbo pamoja.
No comments:
Post a Comment